Post Top Ad
Sunday, December 5, 2021
Home
michezo
SIMBA SC YAFUZU HATUA YA MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO LICHA YA KUCHAPWA 2-1 NA RED ARROWS FC
SIMBA SC YAFUZU HATUA YA MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO LICHA YA KUCHAPWA 2-1 NA RED ARROWS FC
************************
NA EMMANUEL MBATILO
Klabu ya Simba Sc imefanikiwa kufuzu hatua ya makundi kombe la Shirikisho mara baada ya kufanikiwa kushinda kwa jumla ya mabao 4-2 dhidi ya timu ya Red Arrows Fc katika mechi zote mbili licha ya mchezo wa leo kuchapwa mabao mawili kwa sufuri.
Mechi ya kwanza Simba akiwa nyumbani aliweza kupata mabao 3-0 kwenye mchezo ambao ulikuwa wa aina yake, hivyo kutokana na leo kuchapwa mabao 2-1 wanakuwa na jumla ya mabao 4-2 hivyo wanakwenda hatua ya makundi moja kwa moja.
Red Arrows Fc katika mchezo huu walicheza kandanda safi lililovutia lakini haikuwafanya kuwazuia Simba Sc kufuzu hatua ya makundi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
Tahariri ni muhimu sana, SIMBA haikufungwa mbili kwa sufuri(sifuri) bali ni 2-1.
ReplyDelete