Mbunge wa Geita mjini, Joseph Kasheku maarufu kama "Msukuma" leo ametunukiwa Udaktari wa Heshima katika siasa na uongozi (Honorus Causa in Politics and Leadership) na Chuo cha Academy of Universal Global Peace cha Marekani, kama sehemu ya kutambua mchango wake kwenye siasa na uongozi nchini.
Post Top Ad
Sunday, December 5, 2021
MBUNGE WA DARASA LA SABA APATA PhD...SASA NI Dr. MSUKUMA
Sherehe za kutunukiwa udaktari huo wa heshima zimefanyika Jijini Dodoma.
Dkt. Joseph Msukuma amesema pamoja na kupata elimu hii kubwa ya Udaktari,bado ataendelea kuwasemea wananchi kama alivyokuwa akifanya kipindi akiwa na elimu ya darasa la saba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment