SIMBA SC YAPATA KOCHA MPYA, REKODI ZA TIMU AMBAZO AMEZIFUNDISHA ZINAMBEBA


***************



Klabu ya Simba SC imemtambulisha rasmi Pablo Franco Martín raia wa Hispania kuwa kocha wao mkuu akichukua nafasi ya Didier Gomes da Rosa aliyeachana na timu hiyo hivi karibuni. 




Franco (41) aliyewahi kuwa kocha msaidizi Real Madrid 2018 amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba SC.




Kabla ya kujiunga Simba SC alikuwa kocha wa Al Qadsia ya Kuwait na amewahi kuwa kocha wa Getafe 2015

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments