MKURUGENZI WA UPELELEZI WA MAKOSA YA JINAI NCHINI KENYA AHUKUMIWA MIEZI MINNE JELA
Thursday, November 18, 2021
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini Kenya (DCI), George Kinoti amehukumiwa kifungo cha miezi minne jela kwa kukaidi agizo la mahakama ililomtaka kurudisha bunduki za mfanyabiashara.
Kinoti ametakiwa kujisalimisha ndani ya siku saba na iwapo atakaidi agio hilo, Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ameagizwa kutoa hati ya kumkamata.
Mwanzoni mwa mwezi Januari mwaka huu, Kinoti alipewa siku 30 na Mahakama Kuu nchini humo kuhakikisha anarudisha bunduki na risasi zote zilizochukuliwa kutoka kwa mfanyabiashara, Jimi Wanjigi lilitolewa kama ilivyoagizwa mwaka 2019
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin