Dkt. Philemon Sengati
Mhe. Sophia Edward Mjema
****
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Philemon Sengati na kumteua Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Sophia Edward Mjema kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga
Post a Comment