Breaking : RAIS SAMIA ATENGUA UTEUZI WA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA DR. PHILEMON SENGATI, AMTEUA SOPHIA MJEMA


Dkt. Philemon Sengati
Mhe. Sophia Edward Mjema
****

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Philemon Sengati na kumteua Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Sophia Edward Mjema kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga










Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments