Picha : RAIS SAMIA ALIVYOTUA JIJINI MWANZA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwanza



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia kikundi cha ngoma za asili cha Chapakazi kilichokuwa kikitumbuiza mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwanza leo tarehe 08 Septemba, 2021. PICHA NA IKULU


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments