WALLACE KARIA AIDHINISHWA KUWA RAIS WA TFF MIAKA MINGINE MINNE


Rais wa TFF, Wallace Karia

Wajumbe wa mkutano mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), leo Jumamosi, wamemthibitisha Wallace John Karia kuendelea kuwa Rais wa shirikisho hilo kwa kura zote 80 sawa na asilimia 100.

Wallace Karia alikuwa ndiye mgombea pekee wa nafasi hiyo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments