Rais wa TFF, Wallace Karia
Wajumbe wa mkutano mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), leo Jumamosi, wamemthibitisha Wallace John Karia kuendelea kuwa Rais wa shirikisho hilo kwa kura zote 80 sawa na asilimia 100.
Wallace Karia alikuwa ndiye mgombea pekee wa nafasi hiyo.
Post a Comment