Sunday, August 1, 2021
Home
habari
shinyanga
BENKI YA TCB YASHIKA NAFASI YA PILI TAASISI ZA FEDHA MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI SHINYANGA
BENKI YA TCB YASHIKA NAFASI YA PILI TAASISI ZA FEDHA MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI SHINYANGA
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko akimkabidhi Meneja wa Benki ya Biashara ya Tanzania (Tanzania Commercial Bank- TCB PLC) Tawi la Shinyanga Julius Mataso (kulia) Cheti cha Ushindi ambapo Benki ya TCB (zamani ikiitwa Benki ya TPB) imeshika nafasi ya Pili katika kundi la Taasisi za Fedha katika Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga yalifungwa leo Jumapili Agosti 1,2021 katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment