RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA POLE KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI ELIAS KWANDIKWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini , Jenerali Venance Mabeyo kufuatia kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Elias John Kwandikwa kilichotokea Agosti 2,2021 jijini Dar es salaam


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments