WAZIRI MKUU KASIM MAJALIWA AWASILI NCHINI BURUNDI KWA ZIARA YA SIKU MOJA


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewasili nchini Burundi ambapo anafanya ziara ya siku moja nchini humo.

Katika uwanja wa ndege wa Bujumbura, Waziri Mkuu Majaliwa amepokelewa na Makamu wa Rais wa Burundi, Prosper Bazombanza.

Miongoni mwa malengo ya ziara hiyo ya Waziri Mkuu nchini Burundi ni kuimarisha uhusiano wa Tanzania na Taifa hilo.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments