WAZALISHAJI WA POMBE KALI MAARUFU 'SHUJAA NA ZHIMWA' WASHIRIKI MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI SHINYANGA

Wafanyakazi wa Kampuni ya Canon General Supply iliyopo Mjini Shinyanga inayozalisha pombe kali maarufu kwa jina la Shujaa na Zhimwa, Clementina Mkongwa (kulia) na Amina Shamte wakionesha pombe kali wanazozalisha katika kiwanda hicho leo Jumapili Julai 25,2021 kwenye Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack kijiji cha Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mfanyakazi wa Kampuni ya Canon General Supply iliyopo Mjini Shinyanga inayozalisha pombe kali maarufu kwa jina la Shujaa na Zhimwa, Clementina Mkongwa akionesha pombe kali ya Zhimwa
Wafanyakazi wa Kampuni ya Canon General Supply iliyopo Mjini Shinyanga inayozalisha pombe kali maarufu kwa jina la Shujaa na Zhimwa, Clementina Mkongwa (kulia) na Amina Shamte wakiwa kwenye banda la Kampuni ya Canon General Supply kwenye kwenye Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack kijiji cha Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.
Muonekano wa pombe kali za Shujaa na Zhimwa
Naibu Waziri wa Madini Prof. Shukrani Manya akizungumza leo Jumapili Julai 25,2021 wakati akifungua Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack kijiji cha Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.
Naibu Waziri wa Madini Prof. Shukrani Manya akizungumza leo Jumapili Julai 25,2021 wakati akifungua Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack kijiji cha Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.
Naibu Waziri wa Madini Prof. Shukrani Manya akizungumza leo Jumapili Julai 25,2021 wakati akifungua Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack kijiji cha Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.

Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments