MHANDISI MIGODI STAMICO AIBUKA MFANYAKAZI BORA 2021

 

Mhandisi Migodi kutoka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Peter Maha ameibuka mfanyakazi bora na kujinyakulia kitita cha shilingi milioni moja kwenye maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mei Mosi 2021 yaliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba Wilaya Ilemela mkoani Mwanza.
Tazama BMG TV hapa chini

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments