Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewataka askari kuhakikisha wanaendelea kutenda haki kwa wananchi wanaowahudumia na kushirikiana nao katika kuzuia na kupambana na uhalifu nchini.
IGP Sirro amesema hayo Dar es salaam, wakati akizungumza na baadhi ya wananchi wa eneo la Kawe wilaya ya Kinondoni ambapo aliwataka wananchi kuacha kutoa rushwa kwani kitendo hicho ni kinyume na sheria za nchi.
Aidha, IGP Sirro ameendelea kuwasisitiza viongozi wa serikali hasa watendaji wa kata na wenyeviti wa serikali za mitaa kuwashirikisha wananchi katika vikundi ya ulinzi shirikishi ili maeneo yao yaendelee kuwa salama.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin