TFF YAMFUNGIA MWAKALEBELA MIAKA MITANO KUTOJIHUSISHA NA SOKA
Saturday, April 03, 2021
KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemfungia miaka mitano Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC, Frederick Mwakalebela kutojihusisha na soka ndani na nje ya nchi kwa makosa ya kimaadili.
Pamoja na kifungo hicho, TFF imemtoza Mwakalebela faini ya Sh. Milioni 5 baada ya kutiwa hatiani kwa maneno ya uchochezi.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin