TFF YAMFUNGIA MWAKALEBELA MIAKA MITANO KUTOJIHUSISHA NA SOKA



KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemfungia miaka mitano Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC, Frederick Mwakalebela kutojihusisha na soka ndani na nje ya nchi kwa makosa ya kimaadili.

Pamoja na kifungo hicho, TFF imemtoza Mwakalebela faini ya Sh. Milioni 5 baada ya kutiwa hatiani kwa maneno ya uchochezi.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments