AJALI YA BASI YAUA WATU SITA NA KUJERUHI 19

Watu sita wamefariki dunia na wengine 19 wamejeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Machame Investment lililokuwa likitoka jijini Dodoma kwenda Moshi kupata ajali kwenye kijiji cha Kiongozi wilaya ya Babati mkoani Manyara.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishina Msaidizi Mwandamizi Paul Kasabago amesema uchunguzi wa awali wa ajali hiyo iliyotokea Jumanne Machi 30,2021 unaonyesha chanzo ni mwendo kasi.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments