RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MBUNGE MARTHA UMBULLA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Manyara, Martha Umbulla (pichani) ambaye amefariki dunia katika Hospitali ya HCG Mumbai, India alikokuwa akipatiwa matibabu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments