TANESCO YAWAPANDISHA KIZIMBANI WATU SABA KWA KUINGILIA MIUNDOMBINU YA UMEME
Wednesday, December 02, 2020
Shirika la umeme Tanzania ( TANESCO) limewapandisha kizimbani watu sita katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Desemba 2, 2020 kwa tuhuma za kuingilia miundombinu ya umeme na kulisababishi Shirika hasara ya shilingi milioni sita.(6,000,000).
Watuhumiwa hao ni pamoja na Boniphace Emmanuel, Elitruda Ancelim, Twalib Ibrahim, Mwarami Omary, Vumilia Sultani Kaambi, James Joseph na Haidary Islamy.
Hata hivyo upande wa mashtaka umesema upelelezi bado unaendelea na haukuwa na kipingamizi katika kutolewa dhamana ambapo hakimu anayesikiliza kesi hiyo alisema kila mshtakiwa anapaswa kulipa shilingi milioni moja na kuwa na mdhamini mmoja baye sharti awe mtumishi wa Umma.
Kesi imehairishwa hadi tarehe 16.12.2020.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin