KAMPUNI YA NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI YA MTANZANIA, RAI, BINGWA NA DIMBA

 Kampuni ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.


Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo leo Ijumaa Desemba  3, 2020 jijini Dar es Salaam, mhariri mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu Desemba 7, 2020.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments