WAZIRI MKUU WA UINGEREZA AJITENGA TENA BAADA YA KUKUTANA NA MTU MWENYE CORONA
Monday, November 16, 2020
Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ametangaza kujitenga baada ya kukutana na Mbunge wa Ashfield, Lee Anderson ambaye baadaye alithibitishwa kuwa na Virusi vya Corona.
Johnson amesema, alitafutwa na Mamlaka na kutakiwa kufanya hivyo kama taratibu zinavyoelekeza, japokuwa hana dalili zozote za COVID19 baada ya kuwa karibu na Anderson kwa takriban dakika 35.
Mwezi Aprili, Waziri huyo aligundulika na Ugonjwa huo na kulazwa ICU kwa siku 3. Hadi sasa Uingereza imerekodi visa 1,369,318 na vifo 51,934.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin