TIGO YAENDELEA KUKABIDHI ZAWADI ZA SIMU KWA WASHINDI MBALIMBALI WA #JAZATUKUJAZETENA


TunakabidhiTena: Tigo yaendelea kukabidhi zawadi za Simu kwa washindi mbalimbali wa #JazaTukujazeTena ambapo wateja hujishindia pia bonus za dakika, MB na SMS na kubwa zaidi kupata Simu Janja. 

"Bado tunaendelea kutoa simu kwa wateja wetu ikiwa ni ishara ya shukrani kwa kuwa pamoja nasi katika kipindi chote. Wanachotakiwa kufanya ni kununua kifurushi wapate bonus na zaidi wanaingia kwenye droo ambapo wanaweza kushinda simu janja mbalimbali" Joseph Mutalemwa-Mkurugenzi wa Tigo kanda ya pwani. @jotiofficial
"Mbali na Bonus wanazojipatia wateja wetu kila siku pindi wakijiunga kifurushi pia wanajiwekea nafasi ya kushinda simu janja ikiwemo Samsung Note 20 yenye thamani ya zaidi ya milioni 2" Joseph Mutalemwa-Mkurugenzi wa Tigo kanda ya pwani.
Amani Adami kutoka Kiwalani Dar es salaam ndiye mshindi wa Samsung Note 20. Mshindi mmoja kati ya watatu wa wiku hii. Ukiwa na Tigo wewe ni mshindi.
Nunua kifurushi chochote na Tigo itakupa Bonus za Dakika, SMS na Mb's na kubwa zaidi utajiwekea nafasi ya kushinda smartphone kila siku. #ItelT20 #TecnoKitochi4G kumi kila siku na #SamsungNote20 Tatu kila wiki. Joseph Mutalemwa -Mkurigenzi wa Tigo kanda ya Pwani pamoja na @jotiofficial wakimkabidhi simu.
"Huu mzigo ukiibiwa huu lazima uweke msiba huu maana ni balaa, bei yake ni balaa" @jotiofficial

Ukinunua kifurushi Tigo unapata Bonus za Dakika, SMS na MB's na zaidi unajiwekea nafasi ya kushinda smartphone #ItelT20 #TecnoKitochi4G kumi kila siku na #SamsungNote20 tatu kila wiki.
Mama Kashinda! Hongera wewe ni mmoja wa washindi wa Itel T20 wiki hii @jotiofficial Bado wengine Wengi..
Nunua kifurushi chochote na Tigo itakupa Bonus za Dakika, SMS na Mb's na kubwa zaidi utajiwekea nafasi ya kushinda smartphone kila siku. #ItelT20 #TecnoKitochi4G kumi kila siku na #SamsungNote20 Tatu kila wiki.
BURE: Ukinunua kifurushi kutoka Tigo unapata Bonus ya MB, SMS au Dakika na zaidi unapata Burudani kali kutoka kwa wasanii kibao kwenye tamasha la Wasafi Tumewasha na Tigo kesho uwanja wa Taifa-Kahama.
Piga *147*00# kujiunga. @wasafitv


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments