YALIYOJIRI BARABARANI MAGUFULI AKIELEKEA DODOMA KUFUNGA KAMPENI ZA UCHAGUZI

Yaliyojiri barabara wakati Mgombea Urais Dkt John Pombe Magufuli akiwa njiani Kutoka Mkoani Manyara kuelekea Dodoma ambapo alipata nafasi ya kusalimia na kuwaomba kura zao zote siku ya Oktoba 28 mamia kwa mamia ya Watanzania waliojipanga barabarani kumlaki. Dkt John Pombe Magufuli alipata nafasi ya kuwasisitiza Watanzania wote kutofanya makosa siku ya kupiga kura kwa Kutoa kura Zote kwa CCM.

#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments