MGOMBEA URAIS ZANZIBAR DK. MWINYI AFANYA MAHOJIANO NA VYOMBO VYA HABARI...HAYA NDIYO YALIYOJIRI

Dkt Hussein Ali Mwinyi, Mgombea Urais wa CCM Zanzibar amepata nafasi ya kufanya Mahojiano maalum na Vyombo vya Habari Leo Ijumaa Oktoba 23, 2020 ambapo amepata nafasi ya Kutolea ufafanuzi mambo mbalimbali yanayoenda kufanyika baada ya Kupata ridhaa kutoka kwa Wananchi na amejibu maswali yote ya wananchi waliokuwa wakipiga simu na kutuma Ujumbe mfupi kuuliza. Haya ndiyo aliyoyaongea Kwenye Mahojiano hayo Maalum Kutoka Zanzibar. Dkt Mwinyi amejipambanua kwa sera nzuri, anatosha.
#mwinyi2020
#YajayoniNeematupu
#T2020JPM


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments