MAGUFULI NA MKEWE WAPIGA KURA KATIKA KITUO CHA IDARA YA MAJI CHAMWINO, DODOMA

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amefika katika kituo chake cha kupigia kura Chamwino Ikulu na kupiga kura yake mapema asubuhi hii.

Akizungumza baada ya kupiga kura, Magufuli amesema; “Napenda niwapongeze wasimamizi wa uchaguzi hapa Chamwino; maandalizi yalikuwa mazuri na watu wamejitokeza kwa wingi, wito wangu kwa Watanzania tujitokeze kwa wingi kupiga kura pia nipende kusisitiza amani.”


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments