Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila, amesema, mawakala wanne wa chama hicho wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo - Sumbawanga mkoani Rukwa walipokuwa wanakwenda kuapishwa huku wengine watatu wakijeruhiwa.
Habari Kwa kina itawekwa hivi punde
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako