MAWAKALA WANNE CHADEMA WAFARIKI AJALINI

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila, amesema, mawakala wanne wa chama hicho wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo - Sumbawanga mkoani Rukwa walipokuwa wanakwenda kuapishwa huku wengine watatu wakijeruhiwa.

 Habari Kwa kina itawekwa hivi punde



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments