KAULI ZA HUMPHREY POLEPOLE KWENYE MKUTANO WAKE NA WAANDISHI WA HABARI ZANZIBAR

Kutoka Zanzibar. Yaliyojiri na Aliyoyazungumza Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Humphrey Polepole Kwenye Mkutano wake na Waandishi wa Habari Uliofanyika Kwenye Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar. #YajayoniNeemaTupu.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527