Kijana Mchapakazi, Mpole na Mwenye Maono makubwa ya Maendeleo na Kiuongozi ameendelea na Mikutano yake ya Kunadi Sera za CCM Visiwani Zanzibar. Ni Dkt Hussein Ali Mwinyi Leo Alhamisi Oktoba 22, 2020 amefanya Mkutano Mkubwa wa Kampeni Uliofanyika Dole, Zanzibar na haya ndiyo aliyoyaongea Kwenye Mkutano huo Mkubwa wa Kampeni. Zanzibar haitaki Maslahi, inaenda na Kijana mkakamavu na mwenye nguvu kubadirisha uchumi wa Zanzibar.
#YajayoniNeematupu
#Mwinyi2020
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin