HAPPINESS ANAOMBA MSAADA WA MATIBABU YA MTOTO


Happines Juma Kweji mkazi wa Ndala manispaa ya Shinyanga anaomba msaada wa matibabu ya mtoto wake, wa miezi 10 ambaye anasumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa moyo, mdomo wa ndani, pamoja na jicho. 


Kwa yeyote atakayeguswa awasiliane na Happines Juma Kweji 

Kwa Simu namba; 0769475521.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments