JPM ASIMAMISHA JIJI LA ARUSHA AKINADI SERA ZA CCM... HIZI HAPA KAULI ZAKE AKIOMBA KURA


A-Town ilisimama kumpokea Mshua Mchapakazi na Mzalendo wa Kweli, Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli Kwenye Mkutano wake Mkubwa wa Kampeni Uliofanyika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Kwenye Mkutano huo wa aina yake, hizi ndizo Sera alizozinadi na kuzisema Mlinzi wa Rasilimali zetu na Kiongozi wa mfano wa dunia Dkt John Pombe Magufuli.

#KuraKwaMagufuli2020
#T2020JPM

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments