Picha : MAPOKEZI YA TUNDU LISSU JIJINI MWANZA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA CHADEMA
Tuesday, September 01, 2020
Mkutano wa kampeni za CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu Tanzania 2020.
Mapokezi ya mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu alipowasili jijini Mwanza kuelekea katika uwanja wa Furahisha kwenye mkutano wa kampeni za chama hicho.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe (kulia) akiwasili katika uwanja wa Furahisha jijini Mwanza kwa ajili ya mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 kwa upande wa chama hicho, Jumanne Septemba 01, 2020.
Wafuasi wa CHADEMA wakiwa katika uwanja wa Furahisha jijini Mwanza.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin