Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe (kulia) akiwasili katika uwanja wa Furahisha jijini Mwanza kwa ajili ya mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 kwa upande wa chama hicho, Jumanne Septemba 01, 2020.
Wafuasi wa CHADEMA wakiwa katika uwanja wa Furahisha jijini Mwanza.
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako