Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo na Kiongozi wa Chama hicho Kabwe Zuberi Ruyagwa Zitto 'Zitto Kabwe' (kushoto), akipokea fomu za kugombea ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kutoka Kwa Msimamizi wa Uchaguzi Msaidizi wa Jimbo hilo, Ferdinand Firimbi jana mjini Kigoma.(Picha na Said Powa)
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako