ZITTO KABWE ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE KIGOMA MJINI

Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo na Kiongozi wa Chama hicho Kabwe Zuberi Ruyagwa Zitto 'Zitto Kabwe' (kushoto), akipokea fomu za kugombea ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kutoka Kwa Msimamizi wa Uchaguzi Msaidizi wa Jimbo hilo, Ferdinand Firimbi jana mjini Kigoma.(Picha na Said Powa)

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527