WAZIRI MKUU WA JAPAN SHINZO ABE AJIUZULU

Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe ametangaza kwamba amejiuzulu kutokana na sababu za kiafya.


Amesema kwamba hataki maradhi alionayo kuingilia kazi yake , na kuomba msamaha kwa raia wa Japan kwa kushindwa kukamilisha muda wake.

Ameugua kwa miaka mingi kutokana na ugonjwa wa vidonda vya tumbo lakini hali yake imekuwa mbaya zaidi katika siku za hivi karibuni.

Mwaka uliopita , alikuwa waziri mkuu wa Japan aliyehudumu kwa kipindi kirefu nchini Japan.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527