Home »
habari
,
siasa
» MAANDALIZI UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM DODOMA YAPAMBA MOTO
MAANDALIZI UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM DODOMA YAPAMBA MOTO
Majukwa
yakiendelea kupambwa kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma tayari kesho
Agosti 29,2020 kwa mkutano wa uzinduzi wa kampeni za Mgombea Urais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli pamoja na
Mgombea Mwenza, Samia Suluhu Hassan. Uchaguzi Mkuu utafanyika Oktoba
28 mwaka huu. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA.
Picha
za Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli zikiwa
zimepambwa kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ambapo uzinduzi wa
kampeni za Uchaguzi Mkuu utafanyika kesho Jumamosi.
Kijana
muuza korosho Jamali Mohamed, akiangalia picha ya Mgombea Urais wa
Tganzania kupitia CCM, Dk. Magufuli iliyopambwa kwenye Uwanja wa
Jamhuri.
Mambo yalivyo Uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Bendera za Chama Cha Mapinduzi zikiwa zimelipamba Jiji la Dodoma.
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako
Malunde 1 blog Ipo PlayStore....Pakua App yetu mpya HAPA Upate Habari Mpya Moja Kwa Moja Kwenye Simu yako..Utasoma habari hata kama hauna MB..Bofya Hapa