MAANDALIZI UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM DODOMA YAPAMBA MOTO
Friday, August 28, 2020
Majukwa
yakiendelea kupambwa kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma tayari kesho
Agosti 29,2020 kwa mkutano wa uzinduzi wa kampeni za Mgombea Urais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli pamoja na
Mgombea Mwenza, Samia Suluhu Hassan. Uchaguzi Mkuu utafanyika Oktoba
28 mwaka huu. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA.
Picha
za Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli zikiwa
zimepambwa kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ambapo uzinduzi wa
kampeni za Uchaguzi Mkuu utafanyika kesho Jumamosi.
Kijana
muuza korosho Jamali Mohamed, akiangalia picha ya Mgombea Urais wa
Tganzania kupitia CCM, Dk. Magufuli iliyopambwa kwenye Uwanja wa
Jamhuri.
Mambo yalivyo Uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Bendera za Chama Cha Mapinduzi zikiwa zimelipamba Jiji la Dodoma.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin