NEC YAMTEUA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KUWA MGOMBEA WA KITI CHA RAIS WA TANZANIA KUPITIA CCM


Tume ya Taifa ya Uchaguzi- NEC imemteua Dkt.John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa kiti cha Rais wa Tanzania kupitia CCM na Ndug.Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais wa Tanzania.

Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage amewakabidhi  seti za fomu  na nyaraka mbalimbali.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527