Picha : DIAMOND PLATINUMZ, MO DEWJI NA MANARA GUMZO SIMBA DAY


Diamond Platinumz na wanenguaji wake wakitoa burudani kwa mashabiki kwenye tamasha la SIMBA DAY leo katika uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji akishiriki kutoa burudani kwenye jukwaa pamoja na Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz kwenye tamasha la SIMBA DAY leo katika uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.
Mo Dewji akisakata burudani

Helikopta iliyowabeba Diamond Platinumz na Haji Manara ikiwa inazunguka uwanja wa Mkapa kabla ya kutua
Mashabiki wa Klabu ya Simba waliojitokeza kuipa sapoti timu yao kwenye tamasha la SIMBA DAY
Wachezaji wa timu hiyo wakifanya mazoezi kabla ya kuanza mchezo 
Msanii Diamond Platinumz akitoa burudani 
Msafara wa Diamond Platinumz na Haji Manara ukiteremka kwenye Helikopta katika Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam kwenye tamasha la SIMBA DAY
Mchezaji Shomari Kapombe akipasha misuli kabla ya mchezo
Helikopta ikitua uwanjani hapo
Madencer wa Diamond Platinumz wakitoa burudani kwa mashabiki waliojitokeza uwanjani 
Picha kwa hisani ya Simba SC Tanzania

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527