CHIFU ABDALLAH SUBE ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SHINYANGA MJINI KUPITIA CHAMA CHA DEMOKRASIA MAKINI


Abdallah Issa Sube maarufu 'Chifu Abdallah Sube' (kulia) akichukua Fomu ya kugombea   Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama cha Demokrasia Makini Agosti 13,2020 kutoka kwa Msimamizi uchaguzi Jimbo la Shinyanga Mjini Geoffrey Mwangulumbi (kushoto).Zoezi la kuchukua fomu kwa nafasi ya ubunge na udiwani limeanza tarehe Agosti 12,2020.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527