CHADEMA YAANIKA MAJINA MENGINE YA WAGOMBEA UBUNGE...NYALANDU, SALOME MAKAMBA WAPETA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa orodha ya pili ya majina 37 ya wagombea ubunge wa majimbo mbalimbali nchini ambapo kimemteua Lazaro Nyalandu kugombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Suzan Lyimo kugombea Jimbo la Kinondoni, Lucy Magereli Kigamboni, Salome Makamba Jimbo la Shinyanga Mjini, Gibson Ole Meiseyeki kugombea Jimbo la Arumeru Magharibi, na Aboubakar Mashambo Jimbo la Bumbuli.

Tazama hapa chini orodha ya majina ya wagombea wa Ubunge walioteuliwa.

 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527