NAIBU WAZIRI WA MAJI JUMAA AWESO ATETEA KITI CHAKE KIBABE KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA PANGANI

Kutokea Tanga, Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameongoza kura za maoni katika Jimbo la Pangani.


Aweso ameongoza kwa kura 282 akifuatiwa na Mohamed Waziri mwenye kura 30.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527