MWANDISHI WA HABARI MARCO MIPAWA 'NG'WANA NGOLELWA' AJITOSA UBUNGE MSALALA


Msimamizi wa Uhuru Media Group (UMG) Mkoa wa Shinyanga Marco Mipawa 'Ng’wanangolelwa' leo Julai 16,2020 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Msalala mkoa wa Shinyanga.
Kushoto ni Katibu wa CCM wilaya ya Kahama Emanuel Lameck Mbamange akimkabidhi Mwandishi wa Habari Marco Mipawa Ng’wanangolelwa fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge wa Jimbo la Msalala

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527