Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo La Kahama kwa Kipindi cha Mwaka 2005-2015 James Daudi Lembeli Leo Julai 16, 2020 amechukua fomu ya Kuomba ridhaa ya Kuteuliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini Kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Kushoto ni Katibu wa CCM wilaya ya Kahama Emanuel Mbamange. Picha na Salvatory Ntandu