JAMES LEMBELI ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE KAHAMA MJINI

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo La Kahama kwa Kipindi cha Mwaka 2005-2015 James Daudi Lembeli Leo Julai 16, 2020 amechukua fomu ya Kuomba ridhaa ya Kuteuliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini Kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).  Kushoto ni Katibu wa CCM wilaya ya Kahama Emanuel Mbamange. Picha na Salvatory Ntandu 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527