MWENYEKITI WA KACU EMANUEL CHARAHANI ARUDISHA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE KAHAMA MJINI



Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Kahama (KACU) Emanuel Charahani leo Julai 16, 2020 amerudisha fomu ya kuomba ridhaa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kugombea Ubunge wa Jimbo la Ushetu kutoka kwa Katibu wa CCM wilaya ya Kahama Emanuel Mbamange (kushoto). Picha na Salvatory Ntandu

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527