LEAH KOMANYA AJITOSA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MEATU


Aliyekuwa Mbunge wa  Viti Maalum Meatu, Leah Komanya amechukua fomu ya kuomba ridhaa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Meatu mkoani Simuyu. Kushoto ni Katibu wa CCM wilaya ya Meatu, Dotto Mazuri akimkabidhi fomu Leah Komanya lJulai 15,2020.
Aliyekuwa Mbunge wa  Viti Maalum Meatu, Leah Komanya akichukua fomu ya kuomba ridhaa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Meatu mkoani Simuyu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527