FURAHA DOMINICK ASHINDA KURA ZA MAONI JIMBO LA KAWE... ASKOFU GWAJIMA NAMBA TATU
Tuesday, July 21, 2020
Furaha Dominic Jacob ameibuka mshindi wa kura za maoni Jimbo la Kawe, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kupata kura 101 kati ya 475. Angela Kiziga amekuwa wa pili kwa kura 85 na wa tatu, Askofu Josephat Gwajima kura 79.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin