Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo na Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brig. Jenerali Emmanuel Maganga Wajitosa Ubunge CCM

Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brig. Jenerali Emmanuel Maganga amekabidhiwa fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Mvomero  huku Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Prof. Kitila Mkumbo, akichukua fomu kugombea Ubunge katika Jimbo la Ubungo kupitia CCM


Profesa Mkumbo amekabidhiwa fomu leo Jumatano tarehe 15 Julai 2020 katika ofisi ya wilaya ya Ubungo na Katibu wa CCM Wilaya yhiyo, Sylvester Yared.

Mbunge anayemaliza muda wake wa jimbo hilo ni Saed Kubenea wa Chadema




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments