GODFREY MGIMWA AANGUKIA PUA JIMBO LA KALENGA... JACKSON KISWAGA AONGOZA KURA ZA MAONI
Tuesday, July 21, 2020
Mbunge anayemaliza muda wake wa Kalenga Mkoa wa Iringa, Godfrey Mgimwa ameshindwa kura za maoni kwa kupata kura saba dhidi ya Jackson Kiswaga aliyepata kura 221 akifuatiwa na Leo Martin Mavika kura 149 na Bryson Kibasa kura 33. Wapiga kura walikuwa 589
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin