EUNICE JACKSON WISWA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE SHINYANGA MJINI


Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eunice Jackson Wiswa amechukua fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya CCM.

Eunice amechukua fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini leo Jumanne Julai 14,2020 katika ofisi za CCM wilaya ya Shinyanga Mjini.

Akizungumza baada ya kuchukua fomu, Eunice ambaye ni mtaalamu wa masuala ya Jiolojia (Madini, Mafuta na Gesi) amesema muda muafaka wa kuzungumzia vipaumbele vyake jimboni ni pale endapo chama chake kikapompitisha kuwa mgombea kiti cha ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eunice Jackson Wiswa akionesha fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya CCM baada ya kuchukua katika ofisi za CCM wilaya ya Shinyanga Mjini. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eunice Jackson Wiswa akionesha fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya CCM baada ya kuchukua katika ofisi za CCM wilaya ya Shinyanga Mjini.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eunice Jackson Wiswa akiwa na ndugu zake baada ya kuchukua fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eunice Jackson Wiswa akiwa na ndugu zake baada ya kuchukua fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini.
Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527