COSTANTINE MOLLO NKUBA ARUDISHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE SHINYANGA MJINI


Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Costantine Mollo Nkuba akirudisha fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Agnes Bashemu (kushoto) leo Ijumaa Julai 17,2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527