AMUUA MKE WAKE KISHA KUMUUNGUZA MOTO KWA KUNYIMWA TENDO LA NDOA



Jeshi la polisi mkoa wa Mara limamshikilia Mokiri Wambura (46) mkazi wa Kengesi wilaya ya Serengeti mkoani Mara kwa tuhuma za kumuua mke wake Mwise Kyobe(38) kwa kumkata mapanga na kisha kumuunguza kwa moto ndani ya nyumba kwa madai ya kunyimwa tendo la ndoa kwa zaidi ya miaka miwili.

 Bwana huyo pia amemjeruhi kwa kumkata mapanga mtoto wake wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527