Watu 262 wamebainika kuwa na ugonjwa wa virusi vya Corona nchini Kenya baada ya kuongezeka maambukizi mapya 16 ndani ya saa 24.
Vifo sasa vimefikia 12, waliopona Corona 60. Watu hao 16 waliobainika kuwa na Corona nchini humo 15 wanatoka Kenya na mmoja ni raia wa kigeni.
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako