Picha : MWILI WA MWANDISHI WA HABARI ELIYA MBONEA WAZIKWA MKOANI ARUSHA

Mwili aliyekuwa Katibu wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Arusha (Arusha Press Club APC), na mmoja wa waandishi wa habari waandamizi wa Kampuni ya New Habari (2006) Limited, Eliya Mbonea,umezikwa leo Alhamis Aprili 9,2020 mkoani Arusha.

Eliya Mbonea amefariki dunia siku ya Jumatatu Aprili 6,2020 wakati akiendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es salaam.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527