WAZIRI MKUU WA SUDAN ANUSURIKA KIFO BAADA YA MSAFARA WAKE KUSHAMBULIWA

Waziri Mkuu wa Sudan Abdallah Hamdok amenusurika kifo baada ya msafara wake kushambuliwa na Watu wasiojulikana.

 Mlipuko mkubwa umetokea eneo la tukio katika Mji mkuu wa Nchi hiyo wa Khartoum na tayari Waziri Mkuu huyo amekimbizwa katika eneo salama.

Hamdok aliteuliwa Kuwa Waziri Mkuu Agosti mwaka jana baada ya maandamano makubwa yaliyomng'oa Rais Omary Al-Bashir


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post